Mwanzo 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono, likisema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao yako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+ Mwanzo 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo akamtoa nje na kumwambia: “Tafadhali, tazama juu mbinguni uzihesabu nyota, ikiwa unaweza kuzihesabu.” Kisha akamwambia: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”*+ Waebrania 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu hiyo, kutoka kwa mwanamume mmoja, ambaye alikuwa kama mfu,+ walizaliwa watoto+ wengi kama nyota za mbinguni na wasiohesabika kama mchanga ulio kando ya bahari.+
15 Baada ya hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono, likisema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao yako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+
5 Ndipo akamtoa nje na kumwambia: “Tafadhali, tazama juu mbinguni uzihesabu nyota, ikiwa unaweza kuzihesabu.” Kisha akamwambia: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”*+
12 Kwa sababu hiyo, kutoka kwa mwanamume mmoja, ambaye alikuwa kama mfu,+ walizaliwa watoto+ wengi kama nyota za mbinguni na wasiohesabika kama mchanga ulio kando ya bahari.+