Mwanzo 17:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Jina lako halitakuwa tena Abramu;* jina lako litakuwa Abrahamu,* kwa sababu nitakufanya kuwa baba wa mataifa mengi. 6 Nitakufanya uwe na wazao wengi, wengi sana, nami nitakufanya uwe mataifa, na wafalme watatoka kwako.+ Mwanzo 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi Isaka akamwita Yakobo, akambariki na kumwamuru hivi: “Usioe mke kutoka kwa mabinti wa Kanaani.+ Mwanzo 28:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu Mweza-Yote atakubariki na kukufanya uwe na wazao wengi na kuongezeka, nawe hakika utakuwa kusanyiko la mataifa.+
5 Jina lako halitakuwa tena Abramu;* jina lako litakuwa Abrahamu,* kwa sababu nitakufanya kuwa baba wa mataifa mengi. 6 Nitakufanya uwe na wazao wengi, wengi sana, nami nitakufanya uwe mataifa, na wafalme watatoka kwako.+
28 Basi Isaka akamwita Yakobo, akambariki na kumwamuru hivi: “Usioe mke kutoka kwa mabinti wa Kanaani.+
3 Mungu Mweza-Yote atakubariki na kukufanya uwe na wazao wengi na kuongezeka, nawe hakika utakuwa kusanyiko la mataifa.+