Mwanzo 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Jina lako halitakuwa tena Abramu;* jina lako litakuwa Abrahamu,* kwa sababu nitakufanya kuwa baba wa mataifa mengi. Mwanzo 46:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hao ndio wana wa Lea, aliomzalia Yakobo huko Padan-aramu, kutia ndani Dina binti yake.+ Wanawe na mabinti zake wote walikuwa 33. Mwanzo 46:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wana wa Raheli, mke wa Yakobo, walikuwa Yosefu+ na Benjamini.+ 1 Mambo ya Nyakati 2:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli:+ Rubeni,+ Simeoni,+ Lawi,+ Yuda,+ Isakari,+ Zabuloni,+ 2 Dani,+ Yosefu,+ Benjamini,+ Naftali,+ Gadi,+ na Asheri.+
5 Jina lako halitakuwa tena Abramu;* jina lako litakuwa Abrahamu,* kwa sababu nitakufanya kuwa baba wa mataifa mengi.
15 Hao ndio wana wa Lea, aliomzalia Yakobo huko Padan-aramu, kutia ndani Dina binti yake.+ Wanawe na mabinti zake wote walikuwa 33.
2 Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli:+ Rubeni,+ Simeoni,+ Lawi,+ Yuda,+ Isakari,+ Zabuloni,+ 2 Dani,+ Yosefu,+ Benjamini,+ Naftali,+ Gadi,+ na Asheri.+