-
Mwanzo 49:5-7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 “Simeoni na Lawi ni ndugu.+ Silaha za ukatili ndizo silaha zao za kuchinjia.+ 6 Usijiunge nao, Ee nafsi* yangu. Usijiunge na kusanyiko lao, Ee heshima yangu,* kwa sababu kwa hasira yao waliwaua wanaume,+ nao wakawakata ng’ombe dume mishipa ya miguu ili kujifurahisha. 7 Na ilaaniwe hasira yao, kwa sababu ni katili, na ghadhabu yao, kwa sababu ni kali.+ Acheni niwatawanye katika Yakobo, na acheni niwasambaze katika Israeli.+
-