Yohana 1:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Kisha akamwambia: “Kwa kweli ninawaambia, mtaona mbingu imefunguliwa na malaika wa Mungu wakipanda na kushuka kwa Mwana wa binadamu.”+ Waebrania 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pia, anasema kuhusu malaika: “Huwafanya malaika wake kuwa roho, na wahudumu wake*+ kuwa mwali wa moto.”+ Waebrania 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, wao wote si roho kwa ajili ya utumishi mtakatifu,*+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi wokovu?
51 Kisha akamwambia: “Kwa kweli ninawaambia, mtaona mbingu imefunguliwa na malaika wa Mungu wakipanda na kushuka kwa Mwana wa binadamu.”+
7 Pia, anasema kuhusu malaika: “Huwafanya malaika wake kuwa roho, na wahudumu wake*+ kuwa mwali wa moto.”+
14 Je, wao wote si roho kwa ajili ya utumishi mtakatifu,*+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi wokovu?