Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 28:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yakobo akaondoka Beer-sheba na kuendelea na safari kuelekea Harani.+

  • Mwanzo 28:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha akaota ndoto, na tazama! Kulikuwa na ngazi iliyosimamishwa duniani, na kilele chake kilifika mpaka mbinguni; na kulikuwa na malaika wa Mungu waliokuwa wakipanda na kushuka kwenye ngazi hiyo.+

  • Zaburi 104:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Huwafanya malaika wake kuwa roho,

      Wahudumu wake kuwa moto unaoteketeza kabisa.+

  • Danieli 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Nikaendelea kuangalia katika maono ya usiku, na tazama! mtu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa akija na mawingu ya mbinguni; naye akaja mbele za Mzee wa Siku,+ nao wakamleta karibu Naye.

  • Mathayo 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Ibilisi akamwacha,+ na tazama! malaika wakaja na kuanza kumhudumia.+

  • Luka 22:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Ndipo malaika kutoka mbinguni akaja na kumtia nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki