12 Kisha akaota ndoto, na tazama! Kulikuwa na ngazi iliyosimamishwa duniani, na kilele chake kilifika mpaka mbinguni; na kulikuwa na malaika wa Mungu waliokuwa wakipanda na kushuka kwenye ngazi hiyo.+
13 “Nikaendelea kuangalia katika maono ya usiku, na tazama! mtu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa akija na mawingu ya mbinguni; naye akaja mbele za Mzee wa Siku,+ nao wakamleta karibu Naye.