Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kisha akalala chini na kushikwa na usingizi chini ya mti huo wa mretemu. Lakini kwa ghafla malaika akamgusa+ na kumwambia: “Amka, ule.”+

  • 1 Wafalme 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baadaye malaika wa Yehova akarudi mara ya pili, akamgusa na kusema: “Amka, ule, kwa maana safari itakuwa ngumu sana kwako.”

  • Danieli 10:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yule aliyeonekana kama mwanadamu akanigusa tena na kunitia nguvu.+ 19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mtu mwenye thamani sana.*+ Uwe na amani.+ Uwe na nguvu, naam, uwe na nguvu.” Alipokuwa akizungumza nami nilitiwa nguvu na kusema: “Bwana wangu, sema, kwa maana umenitia nguvu.”

  • Mathayo 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Ibilisi akamwacha,+ na tazama! malaika wakaja na kuanza kumhudumia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki