Mwanzo 29:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa hiyo Lea akapata mimba na kuzaa mwana, akampa jina Rubeni,*+ kwa maana alisema: “Ni kwa sababu Yehova ameyaona mateso yangu,+ kwa maana sasa mume wangu ataanza kunipenda.”
32 Kwa hiyo Lea akapata mimba na kuzaa mwana, akampa jina Rubeni,*+ kwa maana alisema: “Ni kwa sababu Yehova ameyaona mateso yangu,+ kwa maana sasa mume wangu ataanza kunipenda.”