-
Mwanzo 32:9, 10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Kisha Yakobo akasema: “Ee Mungu wa baba yangu Abrahamu na Mungu wa baba yangu Isaka, Ee Yehova, wewe unayeniambia, ‘Rudi kwenye nchi yako na kwa watu wako wa ukoo, nami nitakutendea mema,’+ 10 mimi sistahili upendo wote mshikamanifu na uaminifu wote ambao umenitendea mimi, mtumishi wako,+ kwa maana nilivuka mto huu wa Yordani nikiwa na fimbo yangu tu lakini sasa nina kambi mbili.+
-