Mwanzo 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Niko pamoja nawe, nami nitakulinda popote utakapokwenda, nami nitakurudisha kwenye nchi hii.+ Sitakuacha mpaka nitakapofanya mambo niliyokuahidi.”+ Zaburi 100:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana Yehova ni mwema;+Upendo wake mshikamanifu unadumu milele,Na uaminifu wake katika vizazi vyote.+
15 Niko pamoja nawe, nami nitakulinda popote utakapokwenda, nami nitakurudisha kwenye nchi hii.+ Sitakuacha mpaka nitakapofanya mambo niliyokuahidi.”+
5 Kwa maana Yehova ni mwema;+Upendo wake mshikamanifu unadumu milele,Na uaminifu wake katika vizazi vyote.+