Zaburi 86:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Una upendo mwingi mshikamanifu kwa wote wanaokuitia.+ Luka 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniita mwema? Hakuna aliye mwema, isipokuwa mmoja, Mungu.+
5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Una upendo mwingi mshikamanifu kwa wote wanaokuitia.+