Mwanzo 31:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sasa Labani alikuwa ameenda kuwakata manyoya kondoo wake, Raheli akaiba sanamu za terafimu*+ za baba yake.+ Mwanzo 35:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi Yakobo akawaambia watu wa nyumba yake na wote waliokuwa pamoja naye: “Ondoeni kabisa miungu ya kigeni iliyo kati yenu,+ na mjisafishe wenyewe na kubadili mavazi yenu,
19 Sasa Labani alikuwa ameenda kuwakata manyoya kondoo wake, Raheli akaiba sanamu za terafimu*+ za baba yake.+
2 Basi Yakobo akawaambia watu wa nyumba yake na wote waliokuwa pamoja naye: “Ondoeni kabisa miungu ya kigeni iliyo kati yenu,+ na mjisafishe wenyewe na kubadili mavazi yenu,