25Kisha Abrahamu akaoa mke mwingine, naye aliitwa Ketura. 2 Baada ya muda Ketura akamzalia Abrahamu watoto hawa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani,+ Ishbaki, na Shua.+
15 Kisha Farao akasikia habari hizo, naye akajaribu kumuua Musa; lakini Musa akamkimbia Farao na kwenda kuishi katika nchi ya Midiani;+ alipofika huko akaketi kando ya kisima.