20 Lakini kuhusu Ishmaeli, nimesikia ombi lako. Tazama! Nitambariki, nami nitamfanya awe na wazao wengi, nao wataongezeka na kuwa wengi, wengi sana. Atazaa wakuu 12, nami nitamfanya awe taifa kubwa.+
25 Kisha wakaketi chini ili wale chakula. Walipoinua macho yao, waliona msafara wa Waishmaeli+ ukija kutoka Gileadi. Ngamia wao walikuwa wamebeba gundi ya labdanamu, zeri, na magome yenye utomvu,+ nao walikuwa wakiteremka kwenda Misri.