Mwanzo 40:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo Farao akawakasirikia vikali maofisa hao wawili, msimamizi mkuu wa vinywaji na mwokaji mkuu,+ 3 akawatupa katika gereza lililokuwa katika nyumba ya mkuu wa walinzi,+ mahali ambapo Yosefu alikuwa amefungwa.+ Zaburi 105:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mpaka wakati ambapo neno lake lilitimia,+Neno la Yehova ndilo lililomsafisha. Matendo 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na wale vichwa vya familia wakamwonea wivu Yosefu+ na kumuuza Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+
2 Kwa hiyo Farao akawakasirikia vikali maofisa hao wawili, msimamizi mkuu wa vinywaji na mwokaji mkuu,+ 3 akawatupa katika gereza lililokuwa katika nyumba ya mkuu wa walinzi,+ mahali ambapo Yosefu alikuwa amefungwa.+
9 Na wale vichwa vya familia wakamwonea wivu Yosefu+ na kumuuza Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+