6 Pia, nimemchagua Oholiabu+ mwana wa Ahisamaki wa kabila la Dani ili amsaidie, nami ninaweka hekima katika mioyo ya wote wenye ustadi,* ili watengeneze kila kitu nilichokuamuru:+
8 Kwa hiyo mafundi wote stadi+ walitengeneza hema la ibada+ kwa vitambaa kumi vya kitani bora kilichosokotwa, kwa nyuzi za bluu, sufu ya zambarau, na kitambaa cha rangi nyekundu; akavitarizi* kwa michoro ya makerubi.+