32 Basi wakakamilisha kazi yote ya hema la ibada, yaani, hema la mkutano; Waisraeli walifanya kila jambo ambalo Yehova alimwamuru Musa.+ Hivyo ndivyo walivyofanya.
9 Hema hili ni mfano kwa ajili ya wakati huu,+ na kulingana na mpango huu, zawadi na dhabihu zinatolewa.+ Hata hivyo, haziwezi kufanya dhamiri ya mtu anayefanya utumishi mtakatifu iwe kamilifu.+