Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Haruni+ atafukiza uvumba wenye manukato+ juu ya madhabahu hiyo+ kila asubuhi anaposhughulikia taa.+

  • Kutoka 40:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Halafu uweke madhabahu ya dhahabu ya kufukizia uvumba+ mbele ya sanduku la Ushahidi na kuweka pazia la mlango wa hema la ibada.+

  • Zaburi 141:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+

      Mikono yangu iliyoinuliwa na iwe kama toleo la jioni la nafaka.+

  • Ufunuo 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Malaika mwingine, akiwa ameshika chombo cha uvumba* cha dhahabu,+ akafika na kusimama kwenye madhabahu, naye akapewa kiasi kikubwa cha uvumba+ ili autoe pamoja na sala za watakatifu wote juu ya madhabahu ya dhahabu+ ambayo ilikuwa mbele ya kile kiti cha ufalme.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki