- 
	                        
            
            Mambo ya Walawi 8:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
11 Baada ya hayo akanyunyiza kiasi fulani cha mafuta hayo juu ya madhabahu mara saba na kuitia mafuta madhabahu, vyombo vyake vyote, na pia beseni na kinara chake, ili kuvitakasa.
 
 -