Kutoka 30:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Tengeneza beseni la kunawia la shaba pamoja na kinara chake;+ kisha uliweke kati ya hema la mkutano na madhabahu na utie maji ndani yake.+ 19 Haruni na wanawe watanawa mikono na miguu yao kwenye beseni hilo.+
18 “Tengeneza beseni la kunawia la shaba pamoja na kinara chake;+ kisha uliweke kati ya hema la mkutano na madhabahu na utie maji ndani yake.+ 19 Haruni na wanawe watanawa mikono na miguu yao kwenye beseni hilo.+