Kutoka 4:22, 23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Unapaswa kumwambia Farao, ‘Hivi ndivyo Yehova anavyosema: “Israeli ni mwanangu, mzaliwa wangu wa kwanza.+ 23 Ninakwambia, Mruhusu mwanangu aondoke ili anitumikie. Lakini ukikataa kumruhusu aondoke, nitamuua mwana wako, mzaliwa wako wa kwanza.”’”+ Zaburi 78:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Mwishowe aliwaangamiza wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,+Mwanzo wa nguvu zao za uzazi katika mahema ya Hamu. Zaburi 105:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kisha akamuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi yao,+Mwanzo wa nguvu zao za uzazi. Zaburi 136:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Aliwaua wazaliwa wa kwanza wa Misri,+Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele. Waebrania 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa imani alifanya sherehe ya Pasaka na kupaka damu, ili mwangamizaji asiwadhuru* wazaliwa wao wa kwanza.+
22 Unapaswa kumwambia Farao, ‘Hivi ndivyo Yehova anavyosema: “Israeli ni mwanangu, mzaliwa wangu wa kwanza.+ 23 Ninakwambia, Mruhusu mwanangu aondoke ili anitumikie. Lakini ukikataa kumruhusu aondoke, nitamuua mwana wako, mzaliwa wako wa kwanza.”’”+
51 Mwishowe aliwaangamiza wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,+Mwanzo wa nguvu zao za uzazi katika mahema ya Hamu.
28 Kwa imani alifanya sherehe ya Pasaka na kupaka damu, ili mwangamizaji asiwadhuru* wazaliwa wao wa kwanza.+