Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 4:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Unapaswa kumwambia Farao, ‘Hivi ndivyo Yehova anavyosema: “Israeli ni mwanangu, mzaliwa wangu wa kwanza.+ 23 Ninakwambia, Mruhusu mwanangu aondoke ili anitumikie. Lakini ukikataa kumruhusu aondoke, nitamuua mwana wako, mzaliwa wako wa kwanza.”’”+

  • Zaburi 78:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Mwishowe aliwaangamiza wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,+

      Mwanzo wa nguvu zao za uzazi katika mahema ya Hamu.

  • Zaburi 105:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kisha akamuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi yao,+

      Mwanzo wa nguvu zao za uzazi.

  • Zaburi 136:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Aliwaua wazaliwa wa kwanza wa Misri,+

      Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.

  • Waebrania 11:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa imani alifanya sherehe ya Pasaka na kupaka damu, ili mwangamizaji asiwadhuru* wazaliwa wao wa kwanza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki