4 Lakini Farao hatawasikiliza ninyi, nami nitauweka mkono wangu juu ya Misri na kuyatoa makundi yangu makubwa,* watu wangu, Waisraeli, kutoka katika nchi ya Misri kwa hukumu kubwa.+
17 Kwa maana andiko linamwambia Farao: “Kwa sababu hii nimekuacha ubaki: ili nionyeshe nguvu zangu kuhusiana na wewe na ili jina langu litangazwe katika dunia yote.”+18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yeyote anayetaka, lakini yeye humwacha yeyote anayetaka awe mkaidi.+