Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 50:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mwishowe Yosefu akawaambia ndugu zake: “Ninakufa, lakini kwa hakika Mungu atawakazia uangalifu,+ naye hakika atawapandisha kutoka katika nchi hii na kuwapeleka katika nchi aliyoapa kwamba atawapa Abrahamu, Isaka, na Yakobo.”+ 25 Basi Yosefu akawaapisha wana wa Israeli, akisema: “Kwa hakika Mungu atawakazia ninyi uangalifu. Mnapaswa kuiondoa mifupa yangu huku.”+

  • Yoshua 24:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na mifupa ya Yosefu,+ ambayo Waisraeli walikuwa wameleta kutoka Misri, wakaizika huko Shekemu katika shamba ambalo Yakobo alinunua kwa vipande 100 vya fedha+ kutoka kwa wana wa Hamori,+ baba ya Shekemu; nalo likawa urithi wa wana wa Yosefu.+

  • Waebrania 11:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa imani, Yosefu akikaribia mwisho wake, alizungumza kuhusu kutoka* kwa wana wa Israeli, naye akawapa maagizo* kuhusu mifupa* yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki