Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Waisraeli waliendelea kuwanung’unikia wakisema: “Laiti mkono wa Yehova ungetuua katika nchi ya Misri tulipokuwa tukiketi kando ya vyungu vya nyama,+ tulipokuwa tukila na kushiba mikate. Sasa mmetutoa huko na kutuleta katika nyika hii ili kuliua kusanyiko hili lote kwa njaa kali.”+

  • Kutoka 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini watu walikuwa na kiu sana mahali hapo, nao wakaendelea kumnung’unikia Musa+ wakisema: “Kwa nini umetupandisha kutoka Misri ili kutuua kwa kiu sisi na wana wetu na mifugo yetu?”

  • Hesabu 14:2-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Waisraeli wote wakaanza kumnung’unikia Musa na Haruni,+ na wote wakawalalamikia wakisema: “Laiti tungalifia katika nchi ya Misri, au laiti tungalifia hapa nyikani! 3 Kwa nini Yehova anatuleta kwenye nchi hii ili tuuawe kwa upanga?+ Wake zetu na watoto wetu watakuwa mateka.+ Je, si afadhali turudi Misri?”+ 4 Hata waliambiana: “Na tuchague kiongozi, turudi Misri!”+

  • Zaburi 106:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Mababu zetu kule Misri hawakuthamini* kazi zako zinazostaajabisha.

      Hawakukumbuka upendo wako mwingi mshikamanifu,

      Bali waliasi baharini, kando ya Bahari Nyekundu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki