28 Halafu Musa akasema: “Hivi ndivyo mtakavyojua kwamba Yehova amenituma nifanye mambo haya yote, na kwamba sijayatunga moyoni mwangu: 29 Watu hawa wakifa kama wanavyokufa wanadamu wengine wote na kuadhibiwa kama wanadamu wengine wote, basi Yehova hajanituma.+