-
Mambo ya Walawi 24:10, 11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Siku moja, miongoni mwa Waisraeli, mwana fulani ambaye mama yake ni Mwisraeli na baba yake ni Mmisri+ alipigana na mwanamume Mwisraeli kambini. 11 Mwana huyo wa mwanamke Mwisraeli akaanza kulikufuru lile Jina* na kulitukana.+ Basi wakamleta kwa Musa.+ Kumbe mama yake alikuwa Shelomithi, binti ya Dibri wa kabila la Dani.
-