Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 24:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Siku moja, miongoni mwa Waisraeli, mwana fulani ambaye mama yake ni Mwisraeli na baba yake ni Mmisri+ alipigana na mwanamume Mwisraeli kambini. 11 Mwana huyo wa mwanamke Mwisraeli akaanza kulikufuru lile Jina* na kulitukana.+ Basi wakamleta kwa Musa.+ Kumbe mama yake alikuwa Shelomithi, binti ya Dibri wa kabila la Dani.

  • Hesabu 15:32, 33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Waisraeli walipokuwa nyikani, walimkuta mtu fulani akiokota kuni siku ya Sabato.+ 33 Wale waliomkuta akikusanya kuni wakamleta kwa Musa na Haruni na Waisraeli wote.

  • Kumbukumbu la Torati 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hampaswi kuhukumu kwa upendeleo.+ Mnapaswa kumsikiliza mdogo kama mnavyomsikiliza mkubwa.+ Msiogopeshwe na wanadamu,+ kwa sababu hukumu ni ya Mungu;+ na ikiwa kesi ni ngumu sana kwenu, ileteni kwangu, nami nitaisikiliza.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki