Zaburi 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Utawatendea haki mayatima na wale wanaopondwa,+Ili mwanadamu anayeweza kufa ambaye ni mavumbi asiwaogopeshe tena.+ Yakobo 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Mishahara ambayo hamjawalipa wafanyakazi waliovuna mashamba yenu, inaendelea kupaza kilio, na vilio vya kuomba msaada vya wavunaji vimefika masikioni mwa Yehova* wa majeshi.+
18 Utawatendea haki mayatima na wale wanaopondwa,+Ili mwanadamu anayeweza kufa ambaye ni mavumbi asiwaogopeshe tena.+
4 Tazama! Mishahara ambayo hamjawalipa wafanyakazi waliovuna mashamba yenu, inaendelea kupaza kilio, na vilio vya kuomba msaada vya wavunaji vimefika masikioni mwa Yehova* wa majeshi.+