Kutoka 20:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo watu wakaendelea kusimama mbali, lakini Musa akalikaribia lile wingu jeusi mahali alipokuwa Mungu wa kweli.+ Hesabu 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mimi huongea naye uso kwa uso,*+ waziwazi, wala si kwa mafumbo; naye huona uwepo wangu, mimi Yehova. Kwa nini, basi, hamkuogopa kusema vibaya kumhusu Musa, mtumishi wangu?”
21 Kwa hiyo watu wakaendelea kusimama mbali, lakini Musa akalikaribia lile wingu jeusi mahali alipokuwa Mungu wa kweli.+
8 Mimi huongea naye uso kwa uso,*+ waziwazi, wala si kwa mafumbo; naye huona uwepo wangu, mimi Yehova. Kwa nini, basi, hamkuogopa kusema vibaya kumhusu Musa, mtumishi wangu?”