Mambo ya Walawi 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Ikiwa mtu anatoa dhabihu ya ushirika*+ na dhabihu hiyo inatoka kati ya mifugo, awe ni mnyama dume au jike, anapaswa kumtolea Yehova mnyama asiye na kasoro. Mambo ya Walawi 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Sasa hii ndio sheria ya dhabihu ya ushirika+ ambayo mtu yeyote anaweza kumtolea Yehova:
3 “‘Ikiwa mtu anatoa dhabihu ya ushirika*+ na dhabihu hiyo inatoka kati ya mifugo, awe ni mnyama dume au jike, anapaswa kumtolea Yehova mnyama asiye na kasoro.