Kutoka 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini mimi, nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ nami nitazidisha ishara zangu na miujiza yangu katika nchi ya Misri.+ Kutoka 12:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na Wamisri wakaanza kuwahimiza Waisraeli waondoke haraka+ nchini “kwa sababu,” kama walivyosema, “sisi ni kama watu ambao tayari wamekufa!”+ Kumbukumbu la Torati 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi mbele ya macho yetu, Yehova aliendelea kufanya ishara na miujiza mikubwa na iliyoleta uharibifu nchini Misri,+ na pia kwa Farao na nyumba yake yote.+
3 Lakini mimi, nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ nami nitazidisha ishara zangu na miujiza yangu katika nchi ya Misri.+
33 Na Wamisri wakaanza kuwahimiza Waisraeli waondoke haraka+ nchini “kwa sababu,” kama walivyosema, “sisi ni kama watu ambao tayari wamekufa!”+
22 Basi mbele ya macho yetu, Yehova aliendelea kufanya ishara na miujiza mikubwa na iliyoleta uharibifu nchini Misri,+ na pia kwa Farao na nyumba yake yote.+