33 Utalining’iniza pazia hilo chini ya vibanio na kuleta sanduku la Ushahidi+ humo, nyuma ya pazia. Pazia hilo litatenganisha Patakatifu+ na Patakatifu Zaidi.+
2 Kwa maana chumba cha kwanza cha hema kilijengwa, na ndani yake mlikuwa na kinara cha taa+ na meza na mikate ya toleo;*+ nacho kinaitwa Mahali Patakatifu.+3 Lakini nyuma ya pazia la pili+ kulikuwa na chumba cha hema kilichoitwa Patakatifu Zaidi.+