30 Hatimaye, walitengeneza kwa dhahabu safi bamba linalong’aa, yaani, ile ishara takatifu ya wakfu,* na kuchonga maneno haya juu yake kama muhuri unavyochongwa: “Utakatifu ni wa Yehova.”+
9 Kisha akamvisha kilemba+ kichwani na kuweka lile bamba linalong’aa la dhahabu upande wa mbele wa kilemba hicho, ile ishara takatifu ya wakfu,*+ kama Yehova alivyomwamuru Musa.