Mambo ya Walawi 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Sasa hii ndio sheria ya dhabihu ya ushirika+ ambayo mtu yeyote anaweza kumtolea Yehova: Mambo ya Walawi 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Atatoa mkate mmoja kutoka katika kila toleo kuwa fungu takatifu kwa Yehova; litakuwa la kuhani anayenyunyiza damu ya dhabihu za ushirika.+
14 Atatoa mkate mmoja kutoka katika kila toleo kuwa fungu takatifu kwa Yehova; litakuwa la kuhani anayenyunyiza damu ya dhabihu za ushirika.+