Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Mwambie hivi Haruni na wanawe: ‘Hii ndiyo sheria kuhusu dhabihu ya dhambi:+ Mnyama wa dhabihu ya dhambi atachinjiwa+ mahali ambapo mnyama wa dhabihu ya kuteketezwa huchinjwa mbele za Yehova. Ni dhabihu takatifu kabisa. 26 Kuhani anayetoa dhabihu hiyo kwa ajili ya dhambi ataila.+ Ataila mahali patakatifu katika ua wa hema la mkutano.+

  • Mambo ya Walawi 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Pia, wewe na wanao na binti zako+ mtakula kidari cha toleo la kutikiswa na mguu wa fungu takatifu+ mkiwa mahali safi kwa sababu vitu hivyo vimetolewa ili kuwa posho yako na posho ya wanao kutoka kwenye dhabihu za ushirika za Waisraeli.

  • Hesabu 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Mimi mwenyewe nilikuweka usimamie michango ninayoletewa.+ Nimekupa wewe na wanao sehemu ya vitu vyote vitakatifu vinavyotolewa kama mchango na Waisraeli ili viwe posho yenu ya kudumu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki