-
Ezekieli 42:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Kisha akaniambia: “Vyumba vya kulia chakula vya kaskazini na vyumba vya kulia chakula vya kusini vinavyopakana na eneo lililo wazi+ ndivyo vyumba vya kulia chakula vilivyo vitakatifu ambamo makuhani wanaomkaribia Yehova hula matoleo matakatifu zaidi.+ Matoleo matakatifu zaidi, toleo la nafaka, dhabihu ya dhambi, na dhabihu ya hatia huwekwa humo, kwa sababu mahali hapo ni patakatifu.+
-