Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 27:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Utatengeneza ua wa hema+ la ibada. Upande wa kusini, ua huo utakuwa na mapazia yanayoning’inia ya kitani bora kilichosokotwa; yatakuwa na urefu wa mikono 100 upande mmoja.+

  • Mambo ya Walawi 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni mtamtolea Yehova toleo hilo mbele ya madhabahu.

  • Mambo ya Walawi 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Haruni na wanawe watatumia unga unaobaki+ kuoka mikate isiyo na chachu, nao watakula mikate hiyo mahali patakatifu. Wataila katika ua wa hema la mkutano.+

  • Ezekieli 42:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha akaniambia: “Vyumba vya kulia chakula vya kaskazini na vyumba vya kulia chakula vya kusini vinavyopakana na eneo lililo wazi+ ndivyo vyumba vya kulia chakula vilivyo vitakatifu ambamo makuhani wanaomkaribia Yehova hula matoleo matakatifu zaidi.+ Matoleo matakatifu zaidi, toleo la nafaka, dhabihu ya dhambi, na dhabihu ya hatia huwekwa humo, kwa sababu mahali hapo ni patakatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki