Kutoka 40:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ndipo wingu likaanza kufunika hema la mkutano, na utukufu wa Yehova ukajaa katika hema la ibada.+ Hesabu 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova akashuka katika nguzo ya wingu+ na kusimama kwenye mlango wa hema la mkutano, akamwita Haruni na Miriamu. Wote wawili wakaenda mbele. 1 Wafalme 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Makuhani hawakuweza kusimama ili kuhudumu kwa sababu ya wingu hilo, kwa maana utukufu wa Yehova ulijaa katika nyumba ya Yehova.+
5 Yehova akashuka katika nguzo ya wingu+ na kusimama kwenye mlango wa hema la mkutano, akamwita Haruni na Miriamu. Wote wawili wakaenda mbele.
11 Makuhani hawakuweza kusimama ili kuhudumu kwa sababu ya wingu hilo, kwa maana utukufu wa Yehova ulijaa katika nyumba ya Yehova.+