Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Musa alishindwa kuingia ndani ya hema la mkutano kwa sababu wingu liliendelea kulifunika, na utukufu wa Yehova ukajaa katika hema hilo.+

  • Ezekieli 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na utukufu wa Yehova+ ukainuka kutoka kwa makerubi mpaka kwenye kizingiti cha mlango wa nyumba hiyo, na hatua kwa hatua nyumba hiyo ikajaa wingu,+ na ua ulikuwa umejaa mwangaza wa utukufu wa Yehova.

  • Ezekieli 43:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha utukufu wa Yehova ukaingia hekaluni* kupitia lango lililotazama mashariki.+

  • Ezekieli 44:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha akanileta kupitia lango la kaskazini mpaka mbele ya hekalu. Nilipotazama nikaona kwamba utukufu wa Yehova ulikuwa umejaa katika hekalu la Yehova.+ Basi nikaanguka chini kifudifudi.+

  • Matendo 7:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Lakini Stefano akiwa amejaa roho takatifu, akatazama mbinguni, akaona utukufu wa Mungu na wa Yesu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+

  • Ufunuo 21:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na lile jiji halihitaji jua wala mwezi kuliangazia, kwa maana utukufu wa Mungu uliliangazia,+ na taa yake ilikuwa yule Mwanakondoo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki