Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika mwaka ambao Mfalme Uzia alikufa,+ nilimwona Yehova akiwa ameketi kwenye kiti cha ufalme kilicho juu na kilichoinuliwa,+ na pindo za kanzu yake zilijaa hekaluni. 2 Maserafi walikuwa wamesimama juu yake; kila mmoja wao alikuwa na mabawa sita. Kila mmoja aliufunika uso wake kwa mabawa mawili na alifunika miguu yake kwa mawili, na kila mmoja wao aliruka huku na huku kwa mawili.

       3 Na kila mmoja alimwambia mwenzake:

      “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+

      Dunia yote imejaa utukufu wake.”

  • Ezekieli 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na utukufu wa Yehova+ ukainuka kutoka kwa makerubi mpaka kwenye kizingiti cha mlango wa nyumba hiyo, na hatua kwa hatua nyumba hiyo ikajaa wingu,+ na ua ulikuwa umejaa mwangaza wa utukufu wa Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki