15 “Utamwagiza fundi wa kutarizi atengeneze kifuko cha kifuani cha maamuzi.+ Atakitengeneza kama efodi, kwa kutumia dhahabu, nyuzi za bluu, sufu ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu, na kitani bora kilichosokotwa.+
39Walitumia zile nyuzi za bluu, sufu ya zambarau, na kitambaa cha rangi nyekundu+ kufuma kwa ustadi mavazi ya kuhudumu mahali patakatifu. Walimtengenezea Haruni mavazi matakatifu+ kama Yehova alivyomwamuru Musa.