Kutoka 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa Yehova alikuwa akiwatangulia mchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awape nuru, waweze kusafiri mchana na usiku.+ Kutoka 40:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ndipo wingu likaanza kufunika hema la mkutano, na utukufu wa Yehova ukajaa katika hema la ibada.+ Yoshua 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hakuna yeyote atakayekushinda sikuzote za maisha yako.+ Nitakuwa pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Musa.+ Sitakutupa wala kukuacha.+ Yoshua 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kama tulivyomtii Musa katika mambo yote, ndivyo tutakavyokutii. Yehova Mungu wako na awe pamoja nawe kama alivyokuwa pamoja na Musa.+ Isaya 63:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Katika taabu zao zote, yeye alitaabika.+ Na mjumbe wake binafsi* akawaokoa.+ Kwa upendo na huruma yake aliwakomboa,+Naye aliwainua na kuwabeba siku zote za zamani.+
21 Sasa Yehova alikuwa akiwatangulia mchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awape nuru, waweze kusafiri mchana na usiku.+
5 Hakuna yeyote atakayekushinda sikuzote za maisha yako.+ Nitakuwa pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Musa.+ Sitakutupa wala kukuacha.+
17 Kama tulivyomtii Musa katika mambo yote, ndivyo tutakavyokutii. Yehova Mungu wako na awe pamoja nawe kama alivyokuwa pamoja na Musa.+
9 Katika taabu zao zote, yeye alitaabika.+ Na mjumbe wake binafsi* akawaokoa.+ Kwa upendo na huruma yake aliwakomboa,+Naye aliwainua na kuwabeba siku zote za zamani.+