Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na kuna taifa gani lingine duniani lililo kama watu wako Waisraeli?+ Wewe Mungu ulienda na kuwakomboa wakiwa watu wako,+ ukajijengea jina+ kwa kufanya mambo makuu na yenye kuogopesha kwa ajili yao.+ Uliyafukuza mataifa na miungu yao kwa ajili ya watu wako, ambao uliwakomboa kutoka Misri kwa ajili yako mwenyewe.

  • Zaburi 147:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Anamtangazia Yakobo neno lake,

      Na Israeli masharti yake na hukumu zake.+

      20 Hajalifanyia hivyo taifa lingine lolote;+

      Hawajui lolote kuhusu hukumu zake.

      Msifuni Yah!*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki