Kutoka 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Nitakasie* kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Waisraeli. Mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mwanadamu na mnyama ni wangu.”+ Luka 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Yehova:* “Kila mzaliwa wa kwanza* wa kiume lazima ataitwa mtakatifu kwa Yehova.”*+
2 “Nitakasie* kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Waisraeli. Mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mwanadamu na mnyama ni wangu.”+
23 kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Yehova:* “Kila mzaliwa wa kwanza* wa kiume lazima ataitwa mtakatifu kwa Yehova.”*+