Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Nitakasie* kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Waisraeli. Mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mwanadamu na mnyama ni wangu.”+

  • Kutoka 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 ni lazima umtolee Yehova kila mzaliwa wa kwanza wa kiume,* na pia kila mnyama dume wa mifugo yako anayezaliwa kwanza. Wazaliwa hao wa kiume ni wa Yehova.+

  • Kutoka 22:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Usisite kutoa matoleo kutoka katika mazao yako mengi na kutoka kwenye mafuriko ya mashinikizo yako.*+ Unapaswa kunipa mzaliwa wa kwanza kati ya wanao.+

  • Hesabu 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana kila mzaliwa wa kwanza ni wangu.+ Siku niliyomuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri+ nilijitakasia kila mzaliwa wa kwanza katika Israeli kuanzia mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu mpaka wa mnyama.+ Watakuwa wangu. Mimi ni Yehova.”

  • Hesabu 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana kila mzaliwa wa kwanza miongoni mwa Waisraeli ni wangu, awe mwanadamu au mnyama.+ Niliwatakasa ili wawe wangu siku niliyomuua kila mzaliwa wa kwanza nchini Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki