Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Usisite kutoa matoleo kutoka katika mazao yako mengi na kutoka kwenye mafuriko ya mashinikizo yako.*+ Unapaswa kunipa mzaliwa wa kwanza kati ya wanao.+

  • Kutoka 34:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume* ni wangu,+ kutia ndani mifugo yenu yote, iwe ni ng’ombe dume wa kwanza au kondoo.+ 20 Mtamkomboa mzaliwa wa kwanza wa punda kwa kondoo. Lakini msipomkomboa, basi mtamvunja shingo. Mnapaswa kumkomboa kila mzaliwa wenu wa kwanza kati ya wana wenu.+ Mtu yeyote asije mbele zangu mikono mitupu.

  • Mambo ya Walawi 27:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Hata hivyo, hakuna mtu yeyote anayepaswa kumtakasa mzaliwa wa kwanza wa wanyama, kwa sababu mzaliwa wa kwanza ni wa Yehova.+ Awe ni ng’ombe dume au kondoo, tayari ni wa Yehova.+

  • Hesabu 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana kila mzaliwa wa kwanza ni wangu.+ Siku niliyomuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri+ nilijitakasia kila mzaliwa wa kwanza katika Israeli kuanzia mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu mpaka wa mnyama.+ Watakuwa wangu. Mimi ni Yehova.”

  • Luka 2:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Pia, wakati ulipofika wa kuwatakasa kulingana na Sheria ya Musa,+ wakamleta Yerusalemu ili kumtoa kwa Yehova,* 23 kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Yehova:* “Kila mzaliwa wa kwanza* wa kiume lazima ataitwa mtakatifu kwa Yehova.”*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki