Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Farao alipokataa kwa ukaidi kuturuhusu tuondoke,+ Yehova alimuua kila mzaliwa wa kwanza nchini Misri, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu mpaka mzaliwa wa kwanza wa mnyama.+ Ndiyo sababu ninamtolea Yehova wazaliwa wote wa kwanza wa kiume* kuwa dhabihu, na kumkomboa kila mzaliwa wa kwanza kati ya wanangu.’

  • Hesabu 18:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Kila mzaliwa wa kwanza wa viumbe wote walio hai,+ ambaye watanitolea mimi Yehova, awe ni mwanadamu au mnyama, anapaswa kuwa wako. Hata hivyo, ni lazima uwakomboe wazaliwa wa kwanza wa wanadamu,+ na unapaswa pia kuwakomboa wazaliwa wa kwanza wa wanyama wasio safi.+ 16 Unapaswa kumkomboa mzaliwa wa kwanza kwa bei ya ukombozi akiwa na umri wa kuanzia mwezi mmoja na zaidi, kwa thamani iliyokadiriwa ya shekeli tano za fedha,*+ kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu.* Ni gera 20.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki