Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana kila mzaliwa wa kwanza ni wangu.+ Siku niliyomuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri+ nilijitakasia kila mzaliwa wa kwanza katika Israeli kuanzia mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu mpaka wa mnyama.+ Watakuwa wangu. Mimi ni Yehova.”

  • Hesabu 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Kila mzaliwa wa kwanza wa viumbe wote walio hai,+ ambaye watanitolea mimi Yehova, awe ni mwanadamu au mnyama, anapaswa kuwa wako. Hata hivyo, ni lazima uwakomboe wazaliwa wa kwanza wa wanadamu,+ na unapaswa pia kuwakomboa wazaliwa wa kwanza wa wanyama wasio safi.+

  • Kumbukumbu la Torati 15:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Unapaswa kumtakasa kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa ng’ombe wako na kondoo wako kwa ajili ya Yehova Mungu wako.+ Usimtumie mzaliwa wa kwanza wa ng’ombe dume wako kufanya kazi yoyote wala usimkate manyoya mzaliwa wa kwanza wa kondoo wako.

  • Luka 2:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Pia, wakati ulipofika wa kuwatakasa kulingana na Sheria ya Musa,+ wakamleta Yerusalemu ili kumtoa kwa Yehova,* 23 kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Yehova:* “Kila mzaliwa wa kwanza* wa kiume lazima ataitwa mtakatifu kwa Yehova.”*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki