Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Hata hivyo, ikiwa hawezi kutoa kondoo, atamletea Yehova njiwa tetere wawili au hua wawili wachanga+ wawe dhabihu ya hatia kwa ajili ya dhambi yake, ndege mmoja kwa ajili ya dhabihu ya dhambi, na mwingine kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa.+

  • Mambo ya Walawi 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini ikiwa hawezi kuleta kondoo, basi anapaswa kuleta njiwa tetere wawili au hua wawili wachanga,+ mmoja kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa na wa pili kwa ajili ya dhabihu ya dhambi, naye kuhani atamtolea dhabihu hizo ili kufunika dhambi yake, kisha atakuwa safi.’”

  • Luka 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Wakatoa dhabihu kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Yehova:* “njiwa tetere wawili au hua wawili wachanga.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki