Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Hata hivyo, ikiwa anamtoa ndege kuwa dhabihu ya kuteketezwa kwa Yehova, atamtoa njiwa tetere au hua mchanga.+

  • Mambo ya Walawi 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Hata hivyo, ikiwa hawezi kutoa kondoo, atamletea Yehova njiwa tetere wawili au hua wawili wachanga+ wawe dhabihu ya hatia kwa ajili ya dhambi yake, ndege mmoja kwa ajili ya dhabihu ya dhambi, na mwingine kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa.+

  • Mambo ya Walawi 14:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Hata hivyo, ikiwa mtu huyo ni maskini na hawezi kupata vitu hivyo, basi ataleta mwanakondoo dume mmoja atolewe kuwa dhabihu ya hatia na toleo la kutikiswa, ili atoe dhabihu ya kufunika dhambi yake, pia ataleta sehemu ya kumi ya kipimo cha efa moja* ya unga laini uliochanganywa na mafuta ili uwe toleo la nafaka, logi ya mafuta, 22 na njiwa tetere wawili au hua wawili wachanga, kulingana na uwezo wake. Ndege mmoja atatolewa kuwa dhabihu ya dhambi na wa pili dhabihu ya kuteketezwa.+

  • Luka 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Wakatoa dhabihu kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Yehova:* “njiwa tetere wawili au hua wawili wachanga.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki