Kutoka 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Hivi ndivyo utakavyowatakasa ili wanitumikie wakiwa makuhani: Chukua ng’ombe dume mchanga, kondoo dume wawili wasio na kasoro,+ Mambo ya Walawi 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Hivi ndivyo vitu ambavyo Haruni na wanawe watamtolea Yehova siku ambayo Haruni atatiwa mafuta:+ sehemu ya kumi ya kipimo cha efa moja*+ ya unga laini kama toleo la kawaida la nafaka,+ nusu ya unga huo asubuhi na nusu nyingine jioni.
29 “Hivi ndivyo utakavyowatakasa ili wanitumikie wakiwa makuhani: Chukua ng’ombe dume mchanga, kondoo dume wawili wasio na kasoro,+
20 “Hivi ndivyo vitu ambavyo Haruni na wanawe watamtolea Yehova siku ambayo Haruni atatiwa mafuta:+ sehemu ya kumi ya kipimo cha efa moja*+ ya unga laini kama toleo la kawaida la nafaka,+ nusu ya unga huo asubuhi na nusu nyingine jioni.