30 Mwana wa Haruni atakayewekwa kuwa kuhani baada yake na ambaye ataingia katika hema la mkutano ili kuhudumu mahali patakatifu atayavaa mavazi hayo kwa siku saba.+
2 Haya ndiyo majina ya wana wa Haruni: Nadabu mzaliwa wa kwanza, Abihu,+ Eleazari,+ na Ithamari.+3 Hayo ndiyo majina ya wana wa Haruni waliotiwa mafuta ili watumikie wakiwa makuhani.+