Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mwana wa Haruni atakayewekwa kuwa kuhani baada yake na ambaye ataingia katika hema la mkutano ili kuhudumu mahali patakatifu atayavaa mavazi hayo kwa siku saba.+

  • Kutoka 29:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 “Hivi ndivyo utakavyomfanyia Haruni na wanawe, kulingana na yote niliyokuamuru. Utatumia siku saba kuwaweka rasmi kuwa makuhani.*+

  • Hesabu 3:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Haya ndiyo majina ya wana wa Haruni: Nadabu mzaliwa wa kwanza, Abihu,+ Eleazari,+ na Ithamari.+ 3 Hayo ndiyo majina ya wana wa Haruni waliotiwa mafuta ili watumikie wakiwa makuhani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki